Google PlusRSS FeedEmail

DOGGY AJIVUNIA KUWA MWANZILISHI WA BONGOFLEVA

Mwanamuziki wa siku nyingi wa muziki wa kizazi kipya nchini Anselm Tryphone maarufu kama Soggy Doggy amesema kuwa anajivunia kwa kiasi kikubwa kuwa mwanzilishi wa Bongofleva hapa Nchini 


Soggy ambaye pia ni mtangazaji wa kipindi cha Uhuru Fleva cha Uhuru Fm alisema kuwa waanzilishi wengi bado wanafanya vizuri na bado wanaheshimiwa kutokana na kazi zao zenye uhakika, tofauti na wengine wanaoingia na kutoa nyimbo moja inatamba kisha heshima yake inashuka baada ya muda mfupi"Najivunia kuwa mmoja wa waanzilishi wa huu muziki na bado nawaona wasanii wengi wapya hawana jipya hasa wanaoimba Hip pop maana hata nisipotoa nyimbo mpya bado heshima yangu mtaani iko juu sana "

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging