Google PlusRSS FeedEmail

INTERNET KUPAMBA USIKU WA SAUTI

Waliokuwa wanenguaji wa mwanzo wa bendi ya Diamond Sound Ikibinda Nkoi, Janeth Isinike, Modesta Scud na Lilian Internet wanatarajiwa kujumuishwa katika kikosi kitakachotumbuiza kwenye onesho la Usiku wa Sauti na Marafiki wa kweli

Akizungumza Dar es Salaam jana aliyekuwa kiongozi wa Diamond Sound, Ibonda Katumbi Jesus alisema watawaita wanenguaji hao ili kuonesha mshikamano baina yao kwani walifanya kazi nzuri pamoja na haitakuwa vyema kuwaacha

Sisi ni familia kama familia lazima tuwe pamoja mimi nimewaita wenzangu nifanye nao kazi pamoja ni kama siku yangu ya kuzaliwa Modesta, Janeth, Salima Abeid na marehemu Elly Longomba waliweka historia pia katika unenguaji kwenye nchi hii

Lilian kwa sasa upo Mashujaa Musica Janeth ni muimbaji wa African Star wakati Modesta ameacha shughuri za unenguaji

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging