Google PlusRSS FeedEmail

JHIKOMAN AWATEKA MASHABIKI WA REGGAE DAR LIVE







Ukizungumzia muziki wa reggae nchini Tanzania bila shaka utamtaja Jhikoman ambaye alitoa singo yake ya kwanza mnamo mwaka 94 ' Don't Bleach' ndio jina la singo yake

Kazi yake kubwa ni kuipa taarifa jamii inayomzunguka kuhusu mstakabi wa maisa ya kila siku, kwai anachokiimba ni maisha ya kila siku yanayomtokea mwanadamu kwa namna moja au nyingine

Jhikoman aliyipata nafasi ya kupanda jukwaa moja na msanii kutoka nchini Kenya DNA kwenye tamasha la 'East Africa Pamoja Concent'lililoandaliwa na Pro 24 Djs

Alisema kuwa kwake ni faraja kubwa kupanda jukwaani maeneo ya Mbagara na kuona watu wameukubali muziki wake kitu ambacho kinampa changamoto kubwa

Alisema kwamba alikuwa anasubili nafasi kama hiyo ya kufanya shoo mahali hapo ili watu wote waweze kufikiwa na ujumbe unaopatikana kwenye muziki wake


Akizungumzia sababu iliyomsukuma kuimba muziki wa reggae, anasema falsafa iliyomo ndani ya muziki huo ndio kikubwa kilichomsukuma yeye kuimba reggae

Anasema kuwa haigi kazi ya mtu yeye anaimba kile kinachohusu jamii hivyo anaigusa jamii ya Tanzania katika nyimbo zake

Pamoja na hayo alipongeza Pro 24 Dj kwa kile walichokiandaa kwani lengo ni kukuza muziki wa Tanzania pamoja na burudani kiujumla

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging