Google PlusRSS FeedEmail

NEYO AIKUMBUKA SIMU YA MJ


Hebu vuta picha umelala alafu simu yako inaita ukipokea upande wa pili unasikia "Halo mimi ni Michael Jackson", pengine utaikata au kumsema ovyo mpigaji kuwa anakuzingua

Hii imemtokea Neyo mwaka 2008 kwani alipokea simu na kusikia upande wa pili ukijitambulisha kuwa alikuwa ni Michael Jackson, alikata simku hiyo na kuendelea kulala

Bahati nzuri mpigaji alipiga tena na aliposikia vizuri aligundua kuwa ni Michael Jackson akizungumza, Neyo alisema siku hiyo hakulala kabisa kwa furaha alichofanya ni kuwapigia marafiki zake mmoja baada ya mwingine kuwapa taarifa

MJ alimpigia akitaka kufanya naye kazi na walikubaliana kukutana siku mbili baadaye hata hivyo walichozungumza hakikufanikiwa kwani mwaka mmoja baadaye alifariki dunia

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging