Google PlusRSS FeedEmail

KIM KARDASHIAN AJIUMBUA MWENYEWE

Wakati watu wengi Maharufu kote ulimwenguni husifia sana mavazi yao,hata kama huwa hayawapendezi,ila imekuwa tofauti kwa mwanamitindo Kim Kardashian,ambaye ameponda vazi lake ambalo alivaa akiwa katika mahojiano na Television moja ya huko Miami..ambapo alikuwa akihojiwa kuhusu muendelezo wa Tamthilia  yake inayojulikana kama Kardashian Family ,katika mahojiano hayo alisikika akisema nilitaka kuwa  tofauti kidogo nilipotoka nikagundua Jacket lilikuwa kubwa na halikunikaa vizuri kwa kweli  sikupendeza kabisaa,na nilipogundua sikutaka watu waanze kusema ila nimeamua kuzungumzia hilo na tayari nimeandika kwenye blog yangu....Je nikweli hakupendeza?Tazama picha hiyo kama vp toa comment yako


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging