DEFAO KUSHIRIKI MIAKA 16 YA FM ACADEMIA
Mwanamuziki mkongwe kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Defao Matumona, amealikwa kutoa burudani kwenye sherehe za miaka 16 tangu kuanzishwa kwa bendi ya FM Academia
Rais wabendi hiyo Nyoshi El- saadat alisema FM Academia itatimiza miaka 16 mwezi ujao na watasindikizwa na Defao, ambaye atakuwa akishiriki sherehe za bendi hiyo kwa mara ya pili








.jpg)