RIHANNA APAMBA TENA JARIDA VOGUE
Rihanna ambaye amekuwa akivunja rekodi za muziki kila kukicha amefanya jambo lingine adimu Marekani. Kimwana huyo ambaye anaripotiwa kurudiana na mpenziwe wa zamani, Chris Brown, amepamba ukurasa wa mbele wa toleo la Novemba 2012 la jarida la Vogue
Hii ni mara ya tatu katika miaka miwili iliyopita kwa Rihanna kupamba jarida hilo kwani alipamba toleo la April 2012 na kisha Novemba 2011