Google PlusRSS FeedEmail

LIL WAYNE KUACHANA NA RAP



Mmiliki wa lebo ya kurekodi muziki ya Young Money Cash Money Brothers (YMCMB) Lil Wayne anapanga kustaafu muziki baada ya kutoa albamu yake ya 'Tha Carter V'

"Najua nyote mnahitaji niendelee kuwepo kidogo lakini Carter V ndio albamu yangu ya mwisho, " Wayne alimweleza mtangazaji Sway katika kipindi cha MTV News

"Nimekuwa nikirap tangu nina umri wa miaka nane huo ni muda mrefu sana " alisema

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging