Google PlusRSS FeedEmail

MUUMINI AIKACHA TWANGA PEPETA




Muimbaji wa muziki wa Dansi Muumini Mwijuma 'Prince' ameikacha bendi ya African Stars 'Twanga pepeta' na kutimkia bendi ya Victoria Sound yenye makazi yake Mbagara, Dar es Salaam

Akizungumza jijini Dare es Salaam wakati wa utambulisho huo Mkurugenzi wa bendi hiyo ya Victoria Sound Daniel Mjema alisema kuwa wameamua kumuongeza muimbaji huyo kwenye bendi yao ili kuongeza nguvu na kuinua bendi hiyo iwe kama bendi nyingine

Alisema kuwa tumemchukua muimbaji huyu kwa mkataba wa miaka miwili na kazi kubwa atakayoifanya ni kuhakikisha anainua bendi bendi hii na kuifanya itambulike kama zilivyo nyingine kubwa, lakini pia kuwa na jukumu la kuchagua wanamuziki wakubwa wawili ili kujiunga na bendi hiyi

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging