Google PlusRSS FeedEmail

SHARO MILIONEA AFARIKI DUNIA



Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini pia ni msanii wa sanaa ya vichekesho (comedy) Hussein Mkiety anayejulikana kwa jina la Sharo Milionea amefariki dunia kwa ajari ya gari iliyotokea mkoani Tanga muda wa saa mbili usiku

Akithibitisha ajari hiyo kamanda wa polisi wa kimkoa wa Tanga, Bw. Constatine Masawe alisema kuwa ajari hiyo ilitokea majira ya saa mbili usiku maeneo ya kijiji cha Lusanga Muheza ambapo pia ni nyumbani kwa marehemu akitokea Dar es Salaam  akielekea Tanga

Alisema kuwa mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali teule ya Muheza  mkoa wa Tanga, MUNGU AMLAZE MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI AMINA


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging