Google PlusRSS FeedEmail

P-SQUARE PROFILE



Wasifu wa P-Square ; Peter & Paul Okoye

Wasifu wa P- Square unaonesha kuwa Peter na Paul Okoye ni mapacha wametambuliwa zaidi kutokana na kazi zao za muziki kwa albamu zao kadhaa huku wakiwa chini ya leo ya Square.

Wamebaki pia kuwa wasanii bora wa muziki wa taratibu (R&B) Nigeria mwaka 2011, walihamia lebo ya Konviet muziki inayomilikiwa na msanii wa muziki wa Senegar aliyezaliwa Marekani anayetambulika kwa jina la Akon

Mwaka 2012 Psquare waliingia mkataba na msambazaji wa kazi chini ya lebo ya Afrika Kusini inayoitwa Universal Music, taarifa zinaonesha kwamba Psquare ni mapacha waliofanana wamezaliwa tarehe 18 mwezi wa kumi na moja mwaka 1981 kwa mantiki hiyo wanamiaka 30


Historia ya P-Square (PETER & PAUL OKOYE)

Kutokana na historia ya Psquare, wazazi wa Peter na Paul Okoye wanatokea jiji la Jos jimbo la Plateam kaskazini mwa Nigeria wakati Paul na Peter walisoma St Lumba elimu yao ya sekondari na walijiunga shule ya muziki na maigizo ambapo mapenzi yao ya kucheza na kuimba yaliendelezwa

Kikundi chao cha kwanza kilijulikana kwa jina la 'Smooth Criminals' na walitumbuiza maeneo tofauti jiji la Jos wakiwa na elimu ya juu

Tofauti ya Peter na Paul ni kwamba  Peter anapenda zaidi kuimba  huku Paul akipenda zaidi kucheza


Psquare na nyimbo za hivi karibuni na historia ya kisanii

Mziki wa hivi karibuni wa Psquare na unaonekana ukitamba zaidini Beautiful Onyinye ambao wameshirikisha msanii maarufu kutoka nchini Marekani Rick Ross video ya muziki imefanyika Los Angles na sasa wanashika kumi bora kwenye chati tofauti kama Nigeria, Uingereza pamoja na hayo walishinda tuzo za 'Grab the Mic' ambazo zilidhaminiwa na kuandaliwa na Berison na Hedges' mwaka huo huo kikundi 'Last Nite' album yao ya kwanza Psquare ilikuwa yamafanikio mwaka 2005 walitoa albamu ya pili ijulikanayo 'Get Squared' chini ya lebo yao 'Square Records'

Psquare

Video za muziki wa Psquare imekuwa ikichukua tuzo mbalimbali kutokana na ubora wa video hizo na aina ya uchezaji , mwaka 2007 walipata mafanikio ya uuzaji wa albamu kwa kuuza makala milioni 8,duniani

Albamu ya 'Game Over' mwaka 2009 walitoa albamu iliyokuwa inaitwa 'Danger' P-square wamechukua tuzo tofauti  kama BCT mwaka 2011MTV base mwaka 2010


Mashabiki wa Psquare wamekuwa wakijiuliza maswali juu ya mahusiani

Toka vyanzo vya habari hivi karibuni vinasema kuwa Peter hajafunga ndoa na Paul  Okoye pia mchumba wake ni mjamzito




Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging