Google PlusRSS FeedEmail

MWANAMUZIKI RIVER AFARIKI DUNIA



Muimbaji mahiri kutoka nchini Mexico Jenni Rivera amefariki dunia kutokana na ajali mbaya ya ndege iliyotokea nchini humo mapema wiki hii

Rivera ambaye alikuwa maarufu zaidi nchini Marekani alikuwa na miaka 43 wakati alipokutwa na umauti huo

Baba wa Rivera na kaka yake ndio waliothibitisha kifo cha msanii huyo kilichotokea katikati ya mji wa Telemundo, katika ajali hiyo hakuna abiria hata mmoja aliyebahatika kupona

Rivera alikuwa akielekea katika mji wa Monterrey ambapo alikuwa na kazi ya kufanya tamasha usiku wa Jumamosi

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging