Google PlusRSS FeedEmail

SAJUKI ANAHITAJI MSAADA WA MILLIONI 28 KUOKOA MAISHA YAKE

Baada ya kuanguka jukwani juzi, imebainika kwamba figo za msanii na muongozaji wa filamu maarufu Tanzania Sadiq Juma Kilowoko, "Sajuki" zimeshindwa kufanya kazi hivyo jumla ya shilingi Milioni 28 zinahitajika kunusuru maisha yake.Katibu wa shirikisho la Filamu Nchini, Wilson Mukubi amekaririwa  akisema kwamba yote hayo yamegundulika alipofanyiwa uchunguzi katika hospitali Amana, ambako alifanyiwa vipimo.Sajuki ambaye haijapita mwaka tangu arudi kutoka Nchini  India, ambako alikuwa katika matibabu ,alikuwa akionekana kuendelea vizuri, na kuanza  kuwashukuru mashabiki wake lakini ghafla juzi akiwa katika moja ya maonesho hayo alianguka na kushindwa kuendelea na shunguli iliyompeleka.



Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging