Google PlusRSS FeedEmail

KUNDI LA DESTINY'S CHILD KUVUNJIKA?

Kuna baadhi ya maneno ya uzushi yanayozushwa kwa wanadada watatu wanaounda kundi la Destiny's Child kupitia mahojiano ya hivi karibuni yalisema kuwa hataweza kuwa kitu kimoja kama ilivyotarajiwa na baadhi ya mashabiki wao


Wakati Beyonce ametuma picha za mazoezi anayoyafanya kwa ajili ya shoo kubwa anayotarajia kuifanya hivi karibuni, Williams alisema taarifa zinazotolewa juu ya kutengana kwa kundi hilo si za ukweli na hazijathibitishwa

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging