Google PlusRSS FeedEmail

BEYONCE AFANYA KWELI

 AMERUDI tena katika makamuzi mapya muimbaji Beyonce katika stage ya 'Super Bowl XLVII' akionekana kucheza kwa umahili wa hali ya juu huku akiwaacha hoi baadhi ya wageni waliohudhuria onyesho hilo

Beyonce alianza na nyimbo iliyokuwepo katika albamu yake ya nne 'Crazy in Love' umahili wa uchezaji wake ukiwa upo sambamba na kivazi alichovaa ndicho kilichozidi kuvutia shoo hiyo

Kwa kuonyesha muungano wao katika kundi la Desriny Chil ambao unaonekana watu wengi kuutilia shaka muimbaji huyo alipanda jukwaani na waimbaji wenzie wanaounda kundi hilo Michelle William, na Kelly Rowland na kuimba nyimbo ya 'Independent Women

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging