Google PlusRSS FeedEmail

CHRIS AMTUPIA LAWAMA PAPARAZI



Kutokana na kitendo cha kupata ajali wakati akiwa njiani kuelekea studio mwanamuziki Chris Brown amtupia lawama paparazi aliyekuwa akimpiga picha mfululizo akidai kuwa kitendo hiko ndio chanzo cha ajali hiyo

Mwanamuziki huyo alisema kitendo cha kupigwa picha mfululizo wakati akiendesha gari kilimsababisha mawenge ambayo yalimfanya agonge ukuta

Katika ajali hiyo hakuna aliyeumia isipokuwa gari la mwanamuziki huyo aina ya Porsche liliharibika vibaya


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging