Google PlusRSS FeedEmail

MARIAH CAREY, NICK CANNON WAJIANDAA KUTAFUTA WATOTO



Wanamuziki Nick Cannon na Mariah Carey wamesema kuwa watautumia mwezi huu vizuri ili waweze kufikisha matarajio yao ya kupata watoto wengine waweze kuongeza familia licha ya Morrocan na Monroea ambao ni mapacha

Nick alisema makubaliano yao watahakikisha kuwa hadi mwezi huu unapomalizika watakuwa wameshapata matarajio ya kuongeza watoto kwenye familia hiyo

"Mwezi huu tumemuachia mlezi kazi ya kukaa na watoto sisi tunafanya jitihada za kuongeza familia " alisema Nick huku akicheka

Maria alipoulizwa kuhusu suala hilo alikiri kuwa mwezi huu ni wao akisema kuwa watoto watabaki nyumbani na dada wa kazi

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging