Google PlusRSS FeedEmail

PREZZO AWASHANGAZA MASHABIKI WAKE




BAADA ya mume wa marehemu Goldie kuibuka na kuziweka hadharani picha zinazoonyesha siku ya harusi yao na kudai kuwa uhusiano uliokuwepo baina ya marehemu mke wake na msanii wa Kenya Prezzo ulikuwa ni wa kuigiza tu na wa kuonekana kwenye 'Tv'

Kutokana na kitendo hiko baadhi ya wakenya waliamua kumtumia ujumbe Prezzo kupitia mtandao wa kijamii Twitter  kuhusu hali ya kutoelewa siri iliyokuwepo  kuhusu  uhusiano huo, "Kumbuka wiki chache zilizopita kulikuwa na habari kila mahali kuhusu kutaka kufunga ndoa kati ya Prezzo na Goldie na sasa mwezi umepita sasa ukweli imegundulika kuwa Goldie alikuwa amefunga ndoa na mtu mwingine .

Mashabiki  wameshindwa kuelewa kuhusu  jambo hilo" aliandika Robert Alai.



This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging