Google PlusRSS FeedEmail

NGISAH ANAJIVUNIA KUWA KIBONGE



Muigizaji Roselyn Ngissah amesema haoni shida kuwa na mwili mkubwa na wala hafikirii kufanya uchaguzi wa wa vyakula, ambapo aliweza kuingia kwenye tasnia hiyo akiwa na mwili mkubwa hivyo hali hiyo haiwezi kumzuia kutimiza malengo yake

Alisema kuwa watu wengi walisema hawezi kufanya vizuri kwenye tasnia hiyo kutokana na kuwa na mwili mkubwa lakini aliwadhihirishia kuwa hizo ni mbwembwe tu kwani kipaji ndio kila kitu

Alifafanua kuwa wakati alianza kuigiza waandaaji wengi walimtaka apunguze mwili ili aweze kucheza kwenye nafasi mbalimbali lakini hakuweza kufanya hivyo kwa sababu nafurahia jinsi alivyo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging