Google PlusRSS FeedEmail

KIM KUPATA MTOTO UFARANSA



Mkali wa shoo za Televisheni Kim Kardashian anajipanga kwenda kujifungua nchini Ufaransa katika jiji la Paris kukwepa waandishi wa habari ambao wanamuinda kila kukicha

Aliandika kwenye blog yake kuwa anatarajia kuondoka hivi karibuni na kuwa mbali na macho ya mapaparazi hao ambao wana uchu nao

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging