Google PlusRSS FeedEmail

PREZZO AMPONGEZA KENYATTA



Msanii kutoka nchini Kenya ambaye amefanya shoo hivi karibuni nchini Tanzania Prezoo ampongeza rais aliyeingia madaraka nchini humo Uhuru Kenyatta baada ya kuapishwa mwanzoni mwa wiki

Msanii huyo kumpongeza rais huyo kumeibua hisia tofauti kwa baadhi ya mashabiki wake na kudai kuwa alikuwa  na njama za kumuomba ajira rais huyo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging