Google PlusRSS FeedEmail

RIHANAA KAMA MICHAEL JACKSON



Mwanamuziki nyota Rihanna amewaacha hoi mashabiki wake, baada ya kuibuka na mtindo wa uchezaji ambao alikuwa akitumia mfalme wa Pop Michael Jackson

Rihanna alifanya kituko hicho juzi wakati wa onesho lake alilolifanya mjini Los Angels nchini Marekani, hata hivyo inaelezwa kuwa siyo mwanamuziki wa kwanza wa kike  kuiga uchezaji huo wa kushika sehemu za siri

Miongoni mwa wasanii wa kike wanaotajwa kucheza  kwa staili hiyo ni Madonna ambaye alifanya hivyo kwenye maonyesho yake hivi karibuni

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging