Google PlusRSS FeedEmail

KESI YA KUOMBA TALAKA KARDASHIAN KUFANYIKA FARAGA



Kesi ya kuomba talaka iliyofunguliwa na muigizaji na muandaaji wa vipindi vya televisheni Kim Kardashian dhidi ya mumewe Kris Humphriess inatarajiwa kuendeshwa kifamilia

Kwa mujibu wa nyaraka za Mahakama timu ya wanasheria wa mwanamama huyo mwenye umri wa miaka 32,inatarajia kuwaita mama yake mzazi na meneja wake Kris Jenner kuwa mashuhuda kwenye kesi hiyo

Taarifa hizo za nyaraka za Mahakama zinaeleza kuwa wanasheria ndio watajadiliana kuhusu kesi hiyo lakini dada zake nyota huyo Khloe na Kourtney hawatahudhuria kesi hiyo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging