Google PlusRSS FeedEmail

BREAKING NEWS MP TO THE P ATOKA ICU


Kwa mujibu wa ukurasa wa Twitter wa  Millardayo ambaye yupo nchini Afrika Kusini alidai kuwa msanii Mganza Pembe 'MP To The P' amepata nafuu na teyari ameshatoka katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) na kupelekwa katika hodi ya wagonjwa wa kawaida hali hiyo inaonyesha msanii huyo afya yake inazidi kuimarika.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging