“Kutokana na Msiba uliotokea wa ndugu yetu Albert Mangwair, Show ya THE FINEST iliyokuwa ifanyike 31.05.2013 imeahirishwa mpaka baada ya mazishi. Kwa kuwa ulifanya booking, utapigiwa simu kupewa tiketi yako/zako kuanzia tarehe 06.06.2013. Tunaomba radhi kwa usumbu uliojitokeza. Ahsanteni.”