Google PlusRSS FeedEmail

CHRIS BROWN AMWITA MISS URUSI MALAYA


Mwanamuziki wa Pop Chris Brown ameanzisha vita vya maneno na Miss Urusi baada ya kumwita mwanamke huyo malaya.

Brown hivi karibuni aliripotiwa kuwa na mahusiani ya kimapenzi na Olga Gure Kovalenko ambaye ni Miss Urusi 2013, lakini msanii huyo aliibuka na kudai kuwa hakuwa na haja na binti huyo zaidi ya kumchukulia kama malaya na alimytaka kwa ajili ya kufanya naye mapenzi na kumwacha.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging