Google PlusRSS FeedEmail

NAOMI CAMPBELL AREJEA KWENYE GEMU


Baada ya kuathirika kwa muda mrefu na dawa za kulevya hatimaye mwanamitindo mwenye heshima kubwa duniani Naomi Campbell amerudi tena kwenye gemu

Naomi katika miaka ya hivi karibuni alikumbana na matatizo mengi yaliyotokea na matumizi ya kupitiliza ya dawa za kulevya hali iliyopelekea kukosa dili mbalimbali

Hivi karibuni mwanamitindo huyo alionekana katika onyesho la mavazi akiwa na Kate Moss ambaye walivaa nguo za kufanana

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging