Google PlusRSS FeedEmail

SAIDA KAROLI HAJAFA

Mwanamuziki wa nyimbo za kikabila Saida Karole hajapoteza maisha kama ilivyodaiwa katika habari za awali zilizopatikana kupitia mitandao mbalimbali,

Habari zilizothibitishwa na meneja wake ambaye yupo chini ya studio za Tivoli zimekanusha habari hiyo na kudai kuwa msanii huyo mzima na bado anaendelea na mambo yake

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging