Jeneza lililobeba mwili wa msanii Langa likishushwa kwenye gari teyari kwa ajili ya kuupumzisha katika nyumba yake ya milele
Msanii wa bongo fleva ambaye alikuwa swahiba wake wa karibu na msanii Ngwair M TO THE P pamoja na Mchizi Mox walihudhuria maziko ya msanii wa hip hop Langa Kileo yaliyofanyika jana katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam
Baadhi ya ndugu, marafiki, na wasanii wakiupumzisha mwili wa Langa katika nyumba yake ya milele







