Google PlusRSS FeedEmail

SHOO YA JAYDEE ILIVYOKUWA MASHABIKI WAFURIKA WENGINE WAISHIA NJE

 Wakati wa ufunguzi wa shoo ya Jaydee ulianza hivi , hawa ni baadhi ya wacheza shoo wakinogesha usiku huo
 Jaydee akiwa sambamba na wacheza shoo wake katika kuhakikisha siku ya jana inakamilika
 Mashabiki waliohudhuria onyesho hilo
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Jaydee akiwa na Sugu jukwanii huku katikati Mkoloni kuikamilisha siku ya miaka 13 ya Jaydee na kuzindua albamu yake katika ukumbi wa Nyumbani jana
Juma Nature ndani ya Nyumbani Lough jana usiku katika uzinduzi wa albamu ya Nothing but the Truth huku pia mwanadada Jaydee akitimiza miaka 13 ya muziki. Juma Nature alikuwa na kundi lake la Tmk Halisi

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging