Mamia ya watanzania kesho wanatarajia kupokeaa mwili wa msanii wa muziki wa bongo fleva nchini Albert Mangwea 'Ngwair' katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere ukitokea Afrika Kusini.
Kwa mujibu wa msemaji wa kamati ya mazishi Adam Juma alisema awali mwili huo ulitakiwa uwasili leo lakini watanzania waishio Afrika Kusini wameomba nao leo wapate nafasi ya kuuaga mwili huo.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








