Google PlusRSS FeedEmail

KIPINDI CHA UANGALIZI CHA BROWN CHAPIGWA CHINI


Hakimu aliyekuwa akishikilia kesi ya mwanamuziki Chris Brown ametengua kesi ya msanii huyo ambaye alikuwa chini ya uangalizi.

Hakimu huyo ametengua kipindi cha uangalizi alichopewa mwaka 2009, Chris Brown kutokana na kosa la kufanya fujo nyumbani na kumpiga  aliyekuwa mpenzi wake Rihanna.

Mahakama ya Hakimu Mkuu James R. Brandlin ilipanga tarehe 16 Agosti kwa ajili ya kusikiliza kesi hiyo pamoja na kupanga adhabu, ambapo Chirs Brown aligongewa nyundo ya miaka 4 jela

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging