Google PlusRSS FeedEmail

LAURYN HILL AANZA KUTUMIKIA KIFUNGO GEREZANI


Mwimbaji Lauryn Hill ambaye amewahi kutwaa tuzo za muziki wa grammy ameanza kutumikia kifungo cha miezi mitatu gerezani alichohukumiwa baada ya kupatikana na kosa la kukwepa kodi kiasi cha dola za marekani milioni moja sawa na paundi 670,000 katika kipindi cha miaka 10 iliyopita.

Hill anatumikia kifungo hicho katika gereza la Danbury lililopo katika jimbo la Connecticut, alisema Ed Ross, msemaji wa gereza hilo.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging