Google PlusRSS FeedEmail

OBAMA ACHEZA NGOMA YA KITANZANIA , UJIO WAKE WANEEMESHA VIKUNDI VYA SANAA



Ujio wa rais wa Marekani nchini Tanzania umeongeza kipato kwa baadhi ya vikundi vya sanaa nchini ,hususani ngoma za asili  kwa kupata nafasi kwa baadhi ya vikundi hivyo kutumbuiza wakati wa mapokezi ya rais huyo nchini . Katika picha inamuonyesha Obama akicheza ngoma, hali inayoonyesha kuvutiwa na utamaduni wa nchi yetu.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging