Google PlusRSS FeedEmail

AUNTY EZEKIEL APIGWA CHUPA CLUB BILLICANAS



Mwigizaji wa kike katika tasnia ya filamu  Aunty Ezekiel imeripotiwa kupata majeraha katika mkono wake wa kushoto baada ya kuchimbwa na chupa yenye ncha kali, sakata hilo la hatari lilitokea katika Club ya Billicanas...Chanzo cha ugomvi hadi leo bado kitendawili baada ya kutoka fununu kuwa huenda ugomvi huo unahusishwa na kumgombea bwana ....

            HAPA AKIWA AKIWA  KITANDANI AKIENDELEA KUPATIWA  MATIBABU
                                          HILI NDILO JERAHA LILOTOKANA NA CHUPA


PICHA KWA HISANI YA FC

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging