Google PlusRSS FeedEmail

MSHINDI WA BI BROTHER HAJAWAHI KUMSALITI MPENZI WAKE



Baada ya Mshiriki wa Namibia, Dilish Mathews kuibuka kidedea katika shindano la Big Brother 2013 na kunyakua kitita cha dola laki 475 siri yafichuka ya ushindi wake.

Mbali na kupigiwa kura zaidi ya nchi tano za Afrika pia nidhamu yake ndio jambo lingile lililompa ushindi msichana huyo ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu wa Saikolojia katika chuo kikuu nchini mwao.

Mwanadada huyo alionyesha nidhamu ya hali ya juu pindi alipokuwa mjengoni hapo huku akilinda penzi la mpenzi wake ambaye alimuacha nyumbani kwao Namibia

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging