Google PlusRSS FeedEmail

MZEE GURUMO AZAWADIWA GARI NA DIAMOND PLATNUM

 Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Diamond Platnum jana usiku alimzawadia zawadi ya gari msanii nguli wa muziki wa bendi nchini Muhidini Gurumo.

Zawadi hiyo imekuja baada ya muimbaji huyo kutangaza kustaafu muziki huku akiwa hana hata baisikeli kwa kipindi chote hicho ambacho anaimba muziki.

Diamond alimpa zawadi hiyo baada ya kuzindua video yake mpya huku akidai kuwa ameamua kumzawadia mzee huyo kutokana na ukongwe wake kwenye sanaa

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging