Baada ya kuwa kimya na kuonyesha sasa hataki mambo ya udada mwanamama Mercy Johnson ambaye jina lake ni kubwa kwenye tasnia ya filamu za Nollywood, ni kama ameanza kurejesha makeke yake yaliyompa umaarufu ni kuonekana akipiga picha akiwa katika mavazi na pozi tata.
Mercy ambaye ni mama wa mtoto mmoja na mke wa Odi Okogie hivi karibuni alinukuliwa akisema kuwa amekuwa na hataki kufanya matukio yatakayovuta macho ya watu hasa yakiwa kinyume cha jamii lakini amepiga picha hiyo na kuisambaza kwenye mitandao
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








