Siku za hivi karibuni kumekuwa na tetesi zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye ni mjamzito habari hizo zilizagaa zaidi baada ya muigizaji huyo kuweka picha akiwa na mumewe akiwa ameshikilia tumbo
"Sitaki watu waingilie maisha yangu binafsi kwa kuwa kuna vitu vingi vya kuendelea kujadili " alisema