Google PlusRSS FeedEmail

MERGIA KURUDI KWENYE GEMU LA MUZIKI

Mwanamuziki mkongwe Hailu Mergia, ambaye aliacha muziki na kuwa dereva wa teksi nchini Marekani amerudi katika muziki upya.

Mwanamuziki huyo ameshawahi kufanya muziki nchini Ethiopia tangu miaka 80 akifanya na bendi mbalimbali huku huku akiwa ni mpigaji wa kinanda mahiri, amerudi na kuanza upya kufanya kazi hiyo baada ya kukaa nje miaka kadhaa.

Mergia bila ya kuweka wazi kama atarudi moja kwa moja au atakuwa anafanya muziki na kuendelea kusihi nchini Marekani

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging