Google PlusRSS FeedEmail

MSHINDI WA KIGOLI KUIBUKA NA ZAWADI YA GARI LA MILIONI 8

 Mashindano ya kumtafuta Kigoli wa Tanzania yapamba moto huku mshindi kuwa na uwakika wa kuondoka na gari lenye thamani ya sh milioni 8 na laki 5, huku washindi wengine wawili kupata ajira kwenye kampuni ya Chicago General Traders

Picha ikimuonesha Mratibu wa shindano la Kigoli Maimatha wa Jesse akipokea ufungua wa gari kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya Chicago Bw. Salim Chicago (kama linavyoonekana pichani), ambapo kampuni hiyo imedhamini pia mashindano hayo huku nusu fainali zikitarajiwa kufanyika 29 mwezi huyu huku washiriki 8 watakao patikana ndio wataingia kambini

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging