Google PlusRSS FeedEmail

WASANII WA BONGO WAFANYA KWELI SHOO YA AZONTO

 Msanii wa miondoko ya Hip Hop Dogo Janja jana alionesha mashabiki wake kuwa yeye ni mkali wa miondoko hiyo baada ya kuwaimbisha mashabiki hao katika shoo ya Azonto
 Msanii Wakazi akitumbuiza katika jukwaa hilo

 Bendi ya Banana Zoro 'B band' ilikuwepo uwanjani hapo katika kutumbuiza mashabiki wake
 Banana Zoro akiimba kwa hisia jana katika jukwaa hilo
Kundi la Tip Top Connection lilipanda jukwaani hapo ambapo katika hali ya kushangaza walimpandisha msanii wa Hip hop Chid Benz katika jukwaa hilo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging