Google PlusRSS FeedEmail

YALIYOJILI SHOO YA AZONTO

 Msanii Vanessa Mdee pamoja na Gosby wakiwa jukwaani jana katika usiku wa Azonto
 Wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao wako chini ya lebo ya Bihts wakiongozwa na Mabeste katika jukwaa la Viwanja vya Ustawi wa Jamii jana ndani ya shoo ya Azonto.
 Wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao wapo katia lebo ya Bihts, mbele yao ni Vanessa Mdee mara baada ya kumaliza shoo yao jana usiku katika usiku wa Azonto
 Msanii Snuara anayetamba na kibao cha Majanga ambapo hivi karibuni ametoa ngoma nyingine inayokwenda kwa jina la Nimevurugwa akitumbuiza jana katika viwanja hivyo kabla ya kupanda jukwaani msanii Fuse ODG
Snura akicheza sambamba na wacheza shoo wake jukanii hapo

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging