Msanii Vanessa Mdee pamoja na Gosby wakiwa jukwaani jana katika usiku wa Azonto
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao wako chini ya lebo ya Bihts wakiongozwa na Mabeste katika jukwaa la Viwanja vya Ustawi wa Jamii jana ndani ya shoo ya Azonto.
Wasanii wa muziki wa kizazi kipya ambao wapo katia lebo ya Bihts, mbele yao ni Vanessa Mdee mara baada ya kumaliza shoo yao jana usiku katika usiku wa Azonto
Msanii Snuara anayetamba na kibao cha Majanga ambapo hivi karibuni ametoa ngoma nyingine inayokwenda kwa jina la Nimevurugwa akitumbuiza jana katika viwanja hivyo kabla ya kupanda jukwaani msanii Fuse ODG
Snura akicheza sambamba na wacheza shoo wake jukanii hapo
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.







