Google PlusRSS FeedEmail

DIAMOND AUNGANA NA DAVIDO WA NIGERIA

Tamasha la Fiesta limepa fursa msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini Diamond Platnum baada ya kupata nafasi ya kufanya remix ya nyimbo yake inayojulikana kwa jina la My Number One.

Msanii huyo amepata bahati hiyo ya kufanya remix ya wimbo huo na star huyo anayejulikana kwa jina la Davido kutoka nchini Nigeria ambaye alikuja nchini hapa kwa ajili ya shoo ya fiesta

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging