Onesho hilo lilijulikana kwa jina la GAY lilifanyika nchini humo ikiwa ni moja ya ziara za kimuziki ya msanii
huyo.
Lady Gaga ambaye alionekana akiwa jukwaani amevalia gauni refu lililomfunika hadi miguuni ambapo aliweza kufanya shoo hiyo.
Wakati akiendelea na shoo hiyo huku akiwa amevalia gauni hilo gafla akaanza kushusha nguo hiyo kutoka
juu hali iliyompelekea kubaki mtupu.









