Google PlusRSS FeedEmail

JAQULINE WOLPER KAMA MTOTO WA RAIS VILE

                                 jack wolper 600

Jaqueline Wolper  ameingia mzigoni na kuibuka na staili kama ya gwiji la muziki na filamu ulimwenguni hayati Whitney Houston pale aliposhuka na bonge la movie la Bodyguard na sasa Jack naye kaigiza kama mtoto wa Mh. Rais ni mzigo kutoka kampuni ya RJ Company chini ya Director Ray.

Wakati mkali huyo akifanya yake ni kwa support ya mlimbwende wa kitambo Bongo Salha Israel akisimama kama mlinzi wa binti wa kishua ni movie ambayo itatikisa na kuandika historia ya kipekee sana, kumbukumbu zinaonyesha kuwa Jack Wolper kila mzigo anaoshiriki unakuwa ni moto wa kuotea mbali kulingana na staili yake ya kubadilika kwa kila filamu.

Kila heri kwa Jack Wolper Salha miss 2011 na washiriki wote wanaopiga mzigo na kamanda Ray the Greatest kutoka RJ Company ni shughuli mwanzo mwisho 

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging