Google PlusRSS FeedEmail

PENNY AANDAMWA NA WAANDISHI WA HABARI

Baada ya picha kuzagaa mitandaoni zinazomuonesha msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini  Diamond Platnum akiwa katika pozi zito la mahaba na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu, baadhi ya waandishi wa habari mbalimbali wanamtafuta mwanamke ambaye ndiye mchumba wake wa sasa Penny kutaka kujua maamuzi yake baada ya picha hizo kusambaa mitandaoni.


This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging