Google PlusRSS FeedEmail

PIERRA AKANA KUTEMBEA NA MUME WA MTU

Muigizaji na Mtangazaji Pierra Makena, amesema akitaka kutenda dhambi ya kuwa na uhusiano na mume wa mtu basi ni lazima awe tajiri.

Pierra alisema hayo kutokana na kuenea uvumi kuwa alikuwa anamahusiano na mfanyabiashara Imma Mbaru, alifafanua kuwa hana uhusiano naye wala hajawahi kutoka naye na anamtambua kuwa ni mume wa mtu, ni miongoni mwa vitu ambavyo hatarajii kuvifanya.

"Nikitaka kutenda dhambi kutoka na mume wa mtu ni lazima awe na fedha nyingi vinginevyo sina sababu ya kufanya hivyo" alisema Pierra.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging