Muigizaji Mitchell Ozakpolor ameweka bayana sababu zilizomsababisha kuacha kufanya kazi benki ili awe muigizaji.
Alisema kuwa alikuwa na nafasi nzuri kazi lakini tangu alipokuwa anasoma alidhamiria kuwa muigizaji aliamua kuacha kazi hiyo baada ya kufanya kwa miaka miwili.
Ameongezea kuwa tangu amekuwa muigizaji maisha yake yamebadilika kwani amekuwa na furaha na uhuru wa kufanya kazi.
PRO24 RADIO/TV
CLICK AND ENJOY GOOD MUSIC
MIXTAPES
ARTIST PROFILES
Blog Archive
LOVE LINKS
PRO-24 DJS OFFICIAL BLOG
PRO24 ENTERPRISES. Powered by Blogger.








