Google PlusRSS FeedEmail

BAADA YA KUELEZEWA ATHARI ZA ULEVI AOLEWA

Mwanamuziki wa Marekani Mary J Blige ameamua kuolewa baada ya kuelezewa athari za ulevi na mwanaume Kendu Isaacs, ambaye ndiye mumewake wa sasa.

Kendu aliweza kumuelezea mwanamuziki huyo athari za ulevi wa kupindukia kitu ambacho wanaume wengi walishindwa kukifanya hali iliyopelekea mwanamuziki huyo kukubali kuolewa.

Mary aliweka wazi kuwa wakati amejiingiza katika matumizi ya dawa za kulevya na ulevi uliopindukia rafiki na ndugu zake walishindwa kumueleza na kuogopa kumueleza ukweli.

This entry was posted in

Leave a Reply

    Powered By Blogger

    Receive all updates via Facebook. Just Click the Like Button Below...

    Get This SpiceUpBlogging